6 – Muwaalaah [kiungo kimoja kisiwahi kukauka kabla ya kuoshwa cha kufuatia]
Kiwango cha jambo hilo ni kwamba mtu asicheleweshe viungo vya wudhuu´ kwa kitambo mpaka vikakauka vile vilivyoko kabla yake katika hali ya hewa ya kawaida. Akichelewesha kuosha viungo ambavyo ni lazima kuoshwa – kama mfano wa kuondosha uchafu au kukabishwa hodi – basi asisonge mbele katika twahara yake.
- Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Shuruwt-is-Swalaah, uk. 30-31
- Imechapishwa: 14/12/2021
6 – Muwaalaah [kiungo kimoja kisiwahi kukauka kabla ya kuoshwa cha kufuatia]
Kiwango cha jambo hilo ni kwamba mtu asicheleweshe viungo vya wudhuu´ kwa kitambo mpaka vikakauka vile vilivyoko kabla yake katika hali ya hewa ya kawaida. Akichelewesha kuosha viungo ambavyo ni lazima kuoshwa – kama mfano wa kuondosha uchafu au kukabishwa hodi – basi asisonge mbele katika twahara yake.
Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Shuruwt-is-Swalaah, uk. 30-31
Imechapishwa: 14/12/2021
https://firqatunnajia.com/19-faradhi-ya-sita-ya-wudhuu-muwaalaah/