Wakati waislamu wanapomsifu Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) kwa sifa asizokuwa nazo, wanakuwa wamejifananisha na manaswara. Kwa hivyo jambo hilo linakatazwa kutokana na sababu mbili:
1 – Ni uwongo. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) ni mtukufu zaidi kutokana na kusifiwa kwa uwongo.
2 – Kufunga njia kwa kuchelea hilo lisiwapelekee katika yale yaliyowapelekea manaswara juu ya Mtume wao, kama kudai kuwa ni mungu na mfano wake. Licha ya Hadiyth hii na nyenginezo, waislamu wengi wametumbukia katika makatazo haya. Hayo yanathibitisha ukweli wa maneno yake Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) aliposema:
“Hakika mtafuata nyayo za wale waliokuwa kabla yenu hatua kwa hatua, shubiri kwa shubiri, mpaka wakiingia shimo la mburukenge nanyi mtaingia. Wakasema: “E Mtume wa Allaah! Unamaanisha mayahudi na manaswara?” Akasema: “Kina nani wengine?”[1]
[1] al-Bukhaariy (4356) na Muslim (2669).
- Mhusika: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Jilbaab-ul-Mar-ah al-Muslimah, uk. 200-201
- Imechapishwa: 22/11/2023
Wakati waislamu wanapomsifu Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) kwa sifa asizokuwa nazo, wanakuwa wamejifananisha na manaswara. Kwa hivyo jambo hilo linakatazwa kutokana na sababu mbili:
1 – Ni uwongo. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) ni mtukufu zaidi kutokana na kusifiwa kwa uwongo.
2 – Kufunga njia kwa kuchelea hilo lisiwapelekee katika yale yaliyowapelekea manaswara juu ya Mtume wao, kama kudai kuwa ni mungu na mfano wake. Licha ya Hadiyth hii na nyenginezo, waislamu wengi wametumbukia katika makatazo haya. Hayo yanathibitisha ukweli wa maneno yake Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) aliposema:
“Hakika mtafuata nyayo za wale waliokuwa kabla yenu hatua kwa hatua, shubiri kwa shubiri, mpaka wakiingia shimo la mburukenge nanyi mtaingia. Wakasema: “E Mtume wa Allaah! Unamaanisha mayahudi na manaswara?” Akasema: “Kina nani wengine?”[1]
[1] al-Bukhaariy (4356) na Muslim (2669).
Mhusika: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Jilbaab-ul-Mar-ah al-Muslimah, uk. 200-201
Imechapishwa: 22/11/2023
https://firqatunnajia.com/144-kumsifu-mtume-muhammd-kwa-kupindukia-ni-haramu/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)