Suala la nne: Inajuzu kwa waislamu kuwatumia makafiri katika mambo asiyoweza yeyote kuyafanya vizuri isipokuwa wao tu. Inajuzu kwetu kustafidi kutoka katika uzowefu wao ambao hakuna awezaye isipokuwa wao tu au wao ndio wasanifu na wajuzi zaidi. Katika hali hiyo inafaa kuwatumia. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alimuajiri Ibn Arayqitw amuonyeshe njia. Mtu huyu alikuwa kafiri. Hapa kuna dalili ya kujuzu kumtumia kafiri ili ustafidi kwa uzowefu wake. Anatufanyia kazi na sisi tunampa malipo yake. Hili ni mfano wa kufanya nao biashara katika mambo ya kimanufaa tunayoyahitajia.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Nawaaqidh-il-Islaam, uk. 165-166
- Imechapishwa: 04/03/2019
Suala la nne: Inajuzu kwa waislamu kuwatumia makafiri katika mambo asiyoweza yeyote kuyafanya vizuri isipokuwa wao tu. Inajuzu kwetu kustafidi kutoka katika uzowefu wao ambao hakuna awezaye isipokuwa wao tu au wao ndio wasanifu na wajuzi zaidi. Katika hali hiyo inafaa kuwatumia. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alimuajiri Ibn Arayqitw amuonyeshe njia. Mtu huyu alikuwa kafiri. Hapa kuna dalili ya kujuzu kumtumia kafiri ili ustafidi kwa uzowefu wake. Anatufanyia kazi na sisi tunampa malipo yake. Hili ni mfano wa kufanya nao biashara katika mambo ya kimanufaa tunayoyahitajia.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Nawaaqidh-il-Islaam, uk. 165-166
Imechapishwa: 04/03/2019
https://firqatunnajia.com/130-masuala-yanayohusiana-na-kuwatumia-makafiri/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)