Ni lazima kuweka manuizi juu ya funga ya lazima katika sehemu ya usiku. Iwapo atanuia kufunga na asiamke isipokuwa baada ya kuchomoza kwa alfajiri, basi ajizuie na swawm yake ni sahihi – Allaah akitaka.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-Mulakhasw al-Fiqh (01/380)
- Imechapishwa: 30/03/2021
Ni lazima kuweka manuizi juu ya funga ya lazima katika sehemu ya usiku. Iwapo atanuia kufunga na asiamke isipokuwa baada ya kuchomoza kwa alfajiri, basi ajizuie na swawm yake ni sahihi – Allaah akitaka.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: al-Mulakhasw al-Fiqh (01/380)
Imechapishwa: 30/03/2021
https://firqatunnajia.com/11-ulazima-wa-kuweka-nia-usiku/