Ni lazima kuweka manuizi juu ya funga ya lazima katika sehemu ya usiku. Iwapo atanuia kufunga na asiamke isipokuwa baada ya kuchomoza kwa alfajiri, basi ajizuie na swawm yake ni sahihi – Allaah akitaka.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-Mulakhasw al-Fiqh (01/380)
- Imechapishwa: 30/03/2021
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)