104 – Muhammad bin ´Ubayd ametuhadithia: Muhammad bin Thawr ametuhadithia, kutoka kwa Ma´mar, kutoka kwa Qataadah, ambaye amesema kuhusu:
وَرَفَعْنَا لَكَ ذِكْرَكَ
“Tukanyanyulia juu utajo wako.”[1]?
”Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) akasema: ”Anza na utumwa kisha fuatisha ujumbe.”
Ma´mar amesema: ”Nashuhudia ya kwamba hapana mungu wa haki isipokuwa Allaah na kwamba Muhammad ni mja Wake. huu ndio utumwa. Ujumbe ni kule mtu kusema kuwa yeye ni mja na Mtume Wake.”[2]
[1] 94:04
[2] Cheni ya wapokezi ni Swahiyh lakini kuna Swahabah anayekosekana. Wanamme wake wote ni waaminifu.
- Muhusika: Imaam Ismaa´iyl bin Ishaaq al-Maalikiy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fadhwl-us-Swalaah ´alaan-Nabiy, uk. 86-87
- Imechapishwa: 20/02/2024
- Taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket