105 – ´Amr bin Marzuuq ametuhadithia: Zuhayr ametuhadithia, kutoka kwa Ibn Ishaaq, ambaye ameeleza kwamba:
”Aliwaona wakimwelekea imamu. Lakini hawakuwa (يسعون)[1]; hakika hapana vyengine mambo yalivyo ni visa na kumswalia Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam).”[2]
[1] Imekuja namna hii katika ile ya asili. Inawezekana, japo ni jambo la mbali sana, ilitakiwi iwe hawakuwa (يستنون), bi maana hawakuwa wakiswali Sunnah, kwa msemo mwingine swalah zinazopendeza.
[2] Cheni ya wapokezi ni Swahiyh. Zuhayr ni Ibn Mu´aawiyah. Abu Ishaaq as-Sabiy´iy jina lake ni ´Amr bin ´Abdillaah na alikuwa ni mwanafunzi wa Maswahabah. Udhahiri ni kwamba aliowaona wanakusudiwa Maswahabah.
- Muhusika: 105 – ´Amr bin Marzuuq ametuhadithia: Zuhayr ametuhadithia, kutoka kwa Ibn Ishaaq, ambaye ameeleza kwamba: ”Aliwaona wakimwelekea imamu. Lakini hawakuwa (يسعون) ; hakika hapana vyengine mambo yalivyo ni visa na kumswalia Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam).”
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fadhwl-us-Swalaah ´alaan-Nabiy, uk. 86
- Imechapishwa: 20/02/2024
- Taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
105 – ´Amr bin Marzuuq ametuhadithia: Zuhayr ametuhadithia, kutoka kwa Ibn Ishaaq, ambaye ameeleza kwamba:
”Aliwaona wakimwelekea imamu. Lakini hawakuwa (يسعون)[1]; hakika hapana vyengine mambo yalivyo ni visa na kumswalia Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam).”[2]
[1] Imekuja namna hii katika ile ya asili. Inawezekana, japo ni jambo la mbali sana, ilitakiwi iwe hawakuwa (يستنون), bi maana hawakuwa wakiswali Sunnah, kwa msemo mwingine swalah zinazopendeza.
[2] Cheni ya wapokezi ni Swahiyh. Zuhayr ni Ibn Mu´aawiyah. Abu Ishaaq as-Sabiy´iy jina lake ni ´Amr bin ´Abdillaah na alikuwa ni mwanafunzi wa Maswahabah. Udhahiri ni kwamba aliowaona wanakusudiwa Maswahabah.
Muhusika: 105 – ´Amr bin Marzuuq ametuhadithia: Zuhayr ametuhadithia, kutoka kwa Ibn Ishaaq, ambaye ameeleza kwamba: ”Aliwaona wakimwelekea imamu. Lakini hawakuwa (يسعون) ; hakika hapana vyengine mambo yalivyo ni visa na kumswalia Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam).”
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fadhwl-us-Swalaah ´alaan-Nabiy, uk. 86
Imechapishwa: 20/02/2024
Taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
https://firqatunnajia.com/103-athar-aliwaona-wakimwelekea-imamu/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)