360 – Twaariq bin Shihaab amesimulia:
أنه بات عند سلمان الفارسي رضي الله عنه لينظر ما اجتهاده. قال: فقام يصلى من آخر الليل فكأنه لم ير الذى كان يظنُّ فذُكرَ ذلك له فقال سلمان: حافظوا على هذه الصلوات الخمس، فإنهن كفاراتٌ لهذه الجراحات ما لم تصب المقتلة
“Alilala kwa Salmaan bin Faarisiy (Radhiya Allaahu ´anh) ili aone ijtihada yake. Akasimama kuswali mwishoni mwa usiku. Ni kana kwamba hakuna kile alichokuwa anatarajia, akamweleza jambo hilo. Ndipo Salmaan akasema: “Vihifadhi vipindi vitano hivi vya swalah. Hakika ni kifutio cha madhambi haya muda wa kuwa mtu anaepuka madhambi yanayoangamiza.”[1]
Ameipokea at-Twabaraaniy katika “al-Mu´jam al-Kabiyr” kutoka kwa Swahabah kwa cheni ya wapokezi isiyokuwa na neno.
[1] Swahiyh kupitia zingine kutoka kwa Swahabah.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Adhwiym bin ´Abdil-Qawiy al-Mundhiriy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Swahiyh-ut-Targhiyb wat-Tarhiyb (1/266-267)
- Imechapishwa: 01/12/2022
- taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)