358 – Anas bin Maalik (Radhiya Allaahu ´anh) amesimulia kuwa Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
إن لله ملكاً ينادى عند كل صلاةٍ: يا بنى آدم قوموا إلى نيرانكم التى أوقدتموها فأطفئوها
“Allaah ana Malaika ambaye anaita wakati wa kila swalah: “Ee wana wa Aadam! Simameni kuelekea katika Moto wenu, mliouwasha, na hivyo uzimeni!”[1]
Ameipokea at-Twabaraaniy katika “al-Mu´jam as-Swaghiyr” na “al-Mu´jam al-Awsatw”. Yahyaa bin Zuhayr al-Qurashiy ameisimulia peke yake. Wapokezi wengine wametajwa katika yale mapokezi ya kwanza Swahiyh.
[1] Nzuri na Swahiyh.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Adhwiym bin ´Abdil-Qawiy al-Mundhiriy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Swahiyh-ut-Targhiyb wat-Tarhiyb (1/265)
- Imechapishwa: 01/12/2022
- taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)