Tunaona kuwa ni jambo la lazima kufungamana na wanachuoni wa ki-Salaf. Katika karne hizi za mwisho wanawakilishwa na maimamu wa Da´wah an-Najdiyyah (Rahimahumu Allaah) na wale walioathirika nao katika wakati wao na baada yao.
Tunachukua elimu kutoka kwa wanachuoni wetu wanaotambulika kwa Sunnah ambao hawakuchafuka kwa uchafu wa Bid´ah wala matamanio. Himdi na neema zote ni stahiki ya Allaah kuona ni wengi. Miongoni mwao ni:
1- Shaykh ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz.
2- Shaykh Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy.
3- Shaykh Muhammad bin Swaalih al-´Uthaymiyn.
4- Shaykh Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan.
5- Shaykh ´Abdullaah bin ´Abdir-Rahmaan al-Ghudayyaan.
6- Shaykh Swaalih bin ´Abdir-Rahmaan al-Atram.
7- Shaykh ´Abdul-Muhsin Hamad al-´Abbaad.
8- Shaykh ´Abdul-´Aziyz bin Abdillaah Aalush-Shaykh.
9- Shaykh Bakr bin ´Abdillaah Abu Zayd.
10- Shaykh Swaalih bin Muhammad al-Luhaydaan.
Wako wengine wengi miongoni mwa ndugu zao wanachuoni ambao ni mfano wao.
Sisi hatuonelei kuwa wamekingwa na kukosea. Wao ni watu na wanapitikiwa na makosa na kusahau kama yanavyowapitikia wengine.
- Muhusika: Shaykh ´Abdus-Salaam bin Barjas
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Usuwl-ud-Da´wah as-Salafiyyah, uk. 22-23
- Imechapishwa: 13/07/2020
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)