Tunaona kuwa ni jambo la lazima kufungamana na wanachuoni wa ki-Salaf. Katika karne hizi za mwisho wanawakilishwa na maimamu wa Da´wah an-Najdiyyah (Rahimahumu Allaah) na wale walioathirika nao katika wakati wao na baada yao.
Tunachukua elimu kutoka kwa wanachuoni wetu wanaotambulika kwa Sunnah ambao hawakuchafuka kwa uchafu wa Bid´ah wala matamanio. Himdi na neema zote ni stahiki ya Allaah kuona ni wengi. Miongoni mwao ni:
1- Shaykh ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz.
2- Shaykh Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy.
3- Shaykh Muhammad bin Swaalih al-´Uthaymiyn.
4- Shaykh Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan.
5- Shaykh ´Abdullaah bin ´Abdir-Rahmaan al-Ghudayyaan.
6- Shaykh Swaalih bin ´Abdir-Rahmaan al-Atram.
7- Shaykh ´Abdul-Muhsin Hamad al-´Abbaad.
8- Shaykh ´Abdul-´Aziyz bin Abdillaah Aalush-Shaykh.
9- Shaykh Bakr bin ´Abdillaah Abu Zayd.
10- Shaykh Swaalih bin Muhammad al-Luhaydaan.
Wako wengine wengi miongoni mwa ndugu zao wanachuoni ambao ni mfano wao.
Sisi hatuonelei kuwa wamekingwa na kukosea. Wao ni watu na wanapitikiwa na makosa na kusahau kama yanavyowapitikia wengine.
- Mhusika: Shaykh ´Abdus-Salaam bin Barjas
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Usuwl-ud-Da´wah as-Salafiyyah, uk. 22-23
- Imechapishwa: 13/07/2020
Tunaona kuwa ni jambo la lazima kufungamana na wanachuoni wa ki-Salaf. Katika karne hizi za mwisho wanawakilishwa na maimamu wa Da´wah an-Najdiyyah (Rahimahumu Allaah) na wale walioathirika nao katika wakati wao na baada yao.
Tunachukua elimu kutoka kwa wanachuoni wetu wanaotambulika kwa Sunnah ambao hawakuchafuka kwa uchafu wa Bid´ah wala matamanio. Himdi na neema zote ni stahiki ya Allaah kuona ni wengi. Miongoni mwao ni:
1- Shaykh ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz.
2- Shaykh Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy.
3- Shaykh Muhammad bin Swaalih al-´Uthaymiyn.
4- Shaykh Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan.
5- Shaykh ´Abdullaah bin ´Abdir-Rahmaan al-Ghudayyaan.
6- Shaykh Swaalih bin ´Abdir-Rahmaan al-Atram.
7- Shaykh ´Abdul-Muhsin Hamad al-´Abbaad.
8- Shaykh ´Abdul-´Aziyz bin Abdillaah Aalush-Shaykh.
9- Shaykh Bakr bin ´Abdillaah Abu Zayd.
10- Shaykh Swaalih bin Muhammad al-Luhaydaan.
Wako wengine wengi miongoni mwa ndugu zao wanachuoni ambao ni mfano wao.
Sisi hatuonelei kuwa wamekingwa na kukosea. Wao ni watu na wanapitikiwa na makosa na kusahau kama yanavyowapitikia wengine.
Mhusika: Shaykh ´Abdus-Salaam bin Barjas
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Usuwl-ud-Da´wah as-Salafiyyah, uk. 22-23
Imechapishwa: 13/07/2020
https://firqatunnajia.com/02-tunachukua-elimu-kwa-wanachuoni-hawa-na-mfano-wao/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)