Swali: Ni ipi hukumu ya mwenye kuiua nafsi yake kwa makusudi?
Jibu: Ni mtenda dhambi. Anatakiwa kuoshwa na kuswaliwa muda wa kuwa haoni kuwa jambo hilo ni halali.
Swali: Ikiwa anaona kuwa ni halali?
Jibu: Ikiwa anahalalisha jambo hilo anakufuru. Ikiwa anahalalisha kuwaua waislamu bila ya haki anakufuru.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/22933/ما-حكم-قاتل-نفسه-متعمدا
- Imechapishwa: 16/09/2023
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket