Swali: Je, anaingia [katika waliojiua nafsi zao] ambaye anakimbiza gari kwa kasi isiyokuwa ya kawaida kisha baadaye gari likampindukia?
Jibu: Kunakhofiwa juu yake kwamba amesaidia kuiua nafsi yake. Kunakhofiwa juu yake kupata dhambi. Hapana shaka kwamba ni mwenye kupata dhambi kwa kuvuka mipaka. Anakuwa ameshirika kuiua nafsi yake.
Swali: Aliyegongwa na gari anaingia katika waliokufa mashahidi?
Jibu: Ndio, Allaah akitaka. Aliyegongwa ni katika sampuli za watu waliyoporomokewa na jengo au ni mbaya zaidi.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/22932/حكم-ما-يقع-للمسرع-بالسيارة-وحكم-المصدوم
- Imechapishwa: 16/09/2023
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)