Swali: Mwenye kufa kwa kuungua kwa moto ni shahidi?
Jibu: Imepokelewa katika baadhi ya mapokezi ya kwamba ni shahidi yule mwenye kufa kwa kuchomeka. Aidha imepokelewa pia kwamba mwenye kufa kwa damu ya uzazi.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/22936/هل-يدخل-في-الشهادة-موت-الحريق-والنفاس
- Imechapishwa: 16/09/2023
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)