Swali: Je, mtu mwenye kuacha swalah anaweza kuwa kafiri? Arudishiwe salamu wakati atapotoa salamu?
Jibu: Akiendelea kuacha swalah ni kafiri bila ya shaka. Asitolewe salamu. Ikiwa katika kumsusa kutaleta manufaa, basi ni wajibu kumsusa.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/mntq–20041434.mp3
- Imechapishwa: 19/09/2020
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket