Swali: Je, mtu mwenye kuacha swalah anaweza kuwa kafiri? Arudishiwe salamu wakati atapotoa salamu?

Jibu: Akiendelea kuacha swalah ni kafiri bila ya shaka. Asitolewe salamu. Ikiwa katika kumsusa kutaleta manufaa, basi ni wajibu kumsusa.

  • Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
  • Mfasiri: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/mntq–20041434.mp3
  • Imechapishwa: 19/09/2020