Maalik amesema:
“Ni lazima kwa mume kumtolea mke wake Zakaat-ul-Fitwr kutoka kwa pesa zake mwenyewe, ingawa yeye mwenyewe yuko na pesa zake. Mwanamke si lazima kulipa ikiwa ameolewa. Kwa vile mume wake anatakiwa anatakiwa kumhudumia, basi kadhalika yeye ndiye anapaswa kumlipia Zakaat-ul-Fitwr.
- Mhusika: Imaam Sahnuun bin Sa´iyd at-Tanuukhiy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-Mudawwanah al-Kubraa (1/115)
- Imechapishwa: 28/04/2022
Maalik amesema:
“Ni lazima kwa mume kumtolea mke wake Zakaat-ul-Fitwr kutoka kwa pesa zake mwenyewe, ingawa yeye mwenyewe yuko na pesa zake. Mwanamke si lazima kulipa ikiwa ameolewa. Kwa vile mume wake anatakiwa anatakiwa kumhudumia, basi kadhalika yeye ndiye anapaswa kumlipia Zakaat-ul-Fitwr.
Mhusika: Imaam Sahnuun bin Sa´iyd at-Tanuukhiy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: al-Mudawwanah al-Kubraa (1/115)
Imechapishwa: 28/04/2022
https://firqatunnajia.com/zakaat-ul-fitwr-ya-mke-kwa-mujibu-wa-maalik/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)