Nilimuuliza Ibn-ul-Qaasim wakati ambapo Maalik anapendekeza kutolewa kwa Zakaat-ul-Fitwr. Akasema:
“Kabla ya kwenda katika uwanja wa kuswalia. Hata hivyo hapana vibaya kuitoa siku moja au mbili kabla.
Maalik amesema:
“Inapendekezwa kula kabla ya kwenda katika uwanja wa kuswalia siku ya Fitwr.”
Amesema:
“Maalik alinambia kwamba ameona wanazuoni wakipendekeza kutoa Zakaat-ul-Fitwr baada ya alfajiri ile siku ya Fitwr na kabla ya kuondoka katika uwanja wa kuswalia.”
Maalik amesema:
“Kuna wasaa katika jambo hili; ama mtu atoe kabla ya swalah au pia baada ya swalah.”
Maalik amesema:
“Naafiy’ alinambia kwamba Ibn Umar aliwaagizia Zakaat-ul-Fitwr wasambazaji siku mbili hadi tatu kabla ya siku ya Fitwr.”
- Mhusika: Imaam Sahnuun bin Sa´iyd at-Tanuukhiy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-Mudawwanah al-Kubraa (1/110)
- Imechapishwa: 28/04/2022
Nilimuuliza Ibn-ul-Qaasim wakati ambapo Maalik anapendekeza kutolewa kwa Zakaat-ul-Fitwr. Akasema:
“Kabla ya kwenda katika uwanja wa kuswalia. Hata hivyo hapana vibaya kuitoa siku moja au mbili kabla.
Maalik amesema:
“Inapendekezwa kula kabla ya kwenda katika uwanja wa kuswalia siku ya Fitwr.”
Amesema:
“Maalik alinambia kwamba ameona wanazuoni wakipendekeza kutoa Zakaat-ul-Fitwr baada ya alfajiri ile siku ya Fitwr na kabla ya kuondoka katika uwanja wa kuswalia.”
Maalik amesema:
“Kuna wasaa katika jambo hili; ama mtu atoe kabla ya swalah au pia baada ya swalah.”
Maalik amesema:
“Naafiy’ alinambia kwamba Ibn Umar aliwaagizia Zakaat-ul-Fitwr wasambazaji siku mbili hadi tatu kabla ya siku ya Fitwr.”
Mhusika: Imaam Sahnuun bin Sa´iyd at-Tanuukhiy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: al-Mudawwanah al-Kubraa (1/110)
Imechapishwa: 28/04/2022
https://firqatunnajia.com/110064-2/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)