Swali: Mke wangu alikuwa mjamzito katika mwezi wa Ramadhaan uliyobarikiwa na nikamtolea Zakaat-ul-Fitwr kipomoko kimoja kilichoko tumboni mwa mama yake. Siku chache kabla ya siku ya ´Iyd-ul-Fitwr mama alijifungua mapacha mawili kwa uwezo wa Allaah (Subhaanahu wa Ta´ala). Kuna kitu kinachonilazimu hivi sasa kwa vile nilimtolea Zakaat-ul-Fitwr kipomoko kimoja na sikukitolea kingine?
Jibu: Hakuna kinachokulazimu kwa kuacha kwako kukitolea Zakaat-ul-Fitwr kipomoko kingine.
´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
´Abdur-Razzaaq ´Afiyfiy
´Abdullaah bin Ghudayyaan
- Mhusika: al-Lajnah ad-Daaimah
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-Lajnah ad-Daaimah (09/367) nr. (10816)
- Imechapishwa: 12/05/2022
Swali: Mke wangu alikuwa mjamzito katika mwezi wa Ramadhaan uliyobarikiwa na nikamtolea Zakaat-ul-Fitwr kipomoko kimoja kilichoko tumboni mwa mama yake. Siku chache kabla ya siku ya ´Iyd-ul-Fitwr mama alijifungua mapacha mawili kwa uwezo wa Allaah (Subhaanahu wa Ta´ala). Kuna kitu kinachonilazimu hivi sasa kwa vile nilimtolea Zakaat-ul-Fitwr kipomoko kimoja na sikukitolea kingine?
Jibu: Hakuna kinachokulazimu kwa kuacha kwako kukitolea Zakaat-ul-Fitwr kipomoko kingine.
´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
´Abdur-Razzaaq ´Afiyfiy
´Abdullaah bin Ghudayyaan
Mhusika: al-Lajnah ad-Daaimah
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: al-Lajnah ad-Daaimah (09/367) nr. (10816)
Imechapishwa: 12/05/2022
https://firqatunnajia.com/zakaat-ul-fitwr-ya-mapacha-waliozaliwa-siku-chache-kabla-ya-iyd/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)