Swali: Tumejua kuwa Zakaat-ul-Fitwr ni lazima kwa kila muislamu na anatakiwa kujitolea mwenyewe na kila ambaye analazimika kuwahudumia akiwemo mtoto, mke na mfanya kazi. Iwapo mke wa muislamu atasafiri kuwatembelea wazazi wake katika nchi nyingine na akakaa huko miezi miwili au zaidi mpaka ikafika siku ya ´Iyd-ul-Fitwr na yeye yuko kwa wazazi wake – je, mume analazimika kumtolea Zakaat-ul-Fitwr au wazazi wake kwa sababu yuko kwao wakati wa kutolewa kwake?
Jibu: Mambo yakiwa kama ulivyotaja basi Zakaat-ul-Fitwr ya mke inamlazimu mume wake.
´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
´Abdullaah bin Ghudayyaan
Swaalih al-Fawzaan
´Abdul-´Aziyz Aalus-Shaykh
Bakr Abu Zayd
- Mhusika: al-Lajnah ad-Daaimah
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-Lajnah ad-Daaimah (15767)
- Imechapishwa: 12/05/2022
Swali: Tumejua kuwa Zakaat-ul-Fitwr ni lazima kwa kila muislamu na anatakiwa kujitolea mwenyewe na kila ambaye analazimika kuwahudumia akiwemo mtoto, mke na mfanya kazi. Iwapo mke wa muislamu atasafiri kuwatembelea wazazi wake katika nchi nyingine na akakaa huko miezi miwili au zaidi mpaka ikafika siku ya ´Iyd-ul-Fitwr na yeye yuko kwa wazazi wake – je, mume analazimika kumtolea Zakaat-ul-Fitwr au wazazi wake kwa sababu yuko kwao wakati wa kutolewa kwake?
Jibu: Mambo yakiwa kama ulivyotaja basi Zakaat-ul-Fitwr ya mke inamlazimu mume wake.
´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
´Abdullaah bin Ghudayyaan
Swaalih al-Fawzaan
´Abdul-´Aziyz Aalus-Shaykh
Bakr Abu Zayd
Mhusika: al-Lajnah ad-Daaimah
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: al-Lajnah ad-Daaimah (15767)
Imechapishwa: 12/05/2022
https://firqatunnajia.com/zakaat-ul-fitwr-kwa-mke-ambaye-ameenda-kuwatembelea-wazazi-wake/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)