Swali: Nilikusanya kiasi fulani cha pesa na kuweka benki na mwezi mmoja kabla ya kufika mwaka nilizitoa na nikanunua kipande cha ardhi kwa lengo la biashara.
Jibu: Ukinunua kwazo ardhi kwa ajili ya biashara zitahesabiwa kujengea mwaka uliopita. Kukishapita mwezi baada ya kununua kiwanja basi hesabu thamani yake na kitolee zakaah. Kwa sababu kimepitiwa na miezi kumi na mbili. Ukinunua ardhi kwa ajili ya biashara na ikapitiwa na mwezi basi itakuwa imekamilisha mwaka. Inakupasa kuitathmini kwa kushauriana na wenye uzoefu kisha baada ya hapo utaitolea zakaah ile thamani yake.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/3800/حكم-الزكاة-في-الارض-المعدة-للتجارة
- Imechapishwa: 02/06/2022
Swali: Nilikusanya kiasi fulani cha pesa na kuweka benki na mwezi mmoja kabla ya kufika mwaka nilizitoa na nikanunua kipande cha ardhi kwa lengo la biashara.
Jibu: Ukinunua kwazo ardhi kwa ajili ya biashara zitahesabiwa kujengea mwaka uliopita. Kukishapita mwezi baada ya kununua kiwanja basi hesabu thamani yake na kitolee zakaah. Kwa sababu kimepitiwa na miezi kumi na mbili. Ukinunua ardhi kwa ajili ya biashara na ikapitiwa na mwezi basi itakuwa imekamilisha mwaka. Inakupasa kuitathmini kwa kushauriana na wenye uzoefu kisha baada ya hapo utaitolea zakaah ile thamani yake.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/3800/حكم-الزكاة-في-الارض-المعدة-للتجارة
Imechapishwa: 02/06/2022
https://firqatunnajia.com/zakaah-ya-pesa-iliyowekwa-benki-kwa-ajili-ya-ardhi-ya-biashara/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)