Swali: Ni ipi tofauti kati ya kulingania kwa Allaah na kuamrisha mema na kukataza maovu?
Jibu: Yote ni kulingania katika kheri. Kuamrisha mema na kukataza maovu ndani yake kuna kulazimisha. Ni jambo lina nguvu na lenye kuenea zaidi.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/21987/ما-الفرق-بين-الدعوة-والامر-بالمعروف
- Imechapishwa: 08/10/2022
Swali: Ni ipi tofauti kati ya kulingania kwa Allaah na kuamrisha mema na kukataza maovu?
Jibu: Yote ni kulingania katika kheri. Kuamrisha mema na kukataza maovu ndani yake kuna kulazimisha. Ni jambo lina nguvu na lenye kuenea zaidi.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/21987/ما-الفرق-بين-الدعوة-والامر-بالمعروف
Imechapishwa: 08/10/2022
https://firqatunnajia.com/yote-ni-mamoja/