Swali: Ni ipi tofauti kati ya kulingania kwa Allaah na kuamrisha mema na kukataza maovu?
Jibu: Yote ni kulingania katika kheri. Kuamrisha mema na kukataza maovu ndani yake kuna kulazimisha. Ni jambo lina nguvu na lenye kuenea zaidi.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/21987/ما-الفرق-بين-الدعوة-والامر-بالمعروف
- Imechapishwa: 08/10/2022
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)