Swali: Kuhusu barua au kaseti inasimama mahali pa nasaha za moja kwa moja?
Jibu: Ndio. Allaah hunufaisha kupitia kanda nzuri. Ni katika kutoa nasaha pindi mtu ataieneza kwa watu kutoka kwa wanazuoni wazuri na wenye kuaminika.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/21988/هل-يقوم-الكتيب-والشريط-مقام-النصيحة
- Imechapishwa: 08/10/2022
Swali: Kuhusu barua au kaseti inasimama mahali pa nasaha za moja kwa moja?
Jibu: Ndio. Allaah hunufaisha kupitia kanda nzuri. Ni katika kutoa nasaha pindi mtu ataieneza kwa watu kutoka kwa wanazuoni wazuri na wenye kuaminika.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/21988/هل-يقوم-الكتيب-والشريط-مقام-النصيحة
Imechapishwa: 08/10/2022
https://firqatunnajia.com/kuandika-barua-na-rekodi-inasimama-mahali-pa-nasaha/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)