Swali: Je, inajuzu kuacha kufanya matendo kwa ajili ya Riyaa?
Jibu: Huu ni wasiwasi wa Shaytwaan. Nilipendelea kugusia hili lakini nilisahau. Baadhi ya watu wanaacha kufanya matendo mema; kusimama kisimamo cha usiku, wanafikia mpaka kuacha Swalah ya Jamaa´ah kwa hoja eti wanaogopa Riyaa. Hili linatokamana na Shaytwaan. Fanya matendo mema na mtakasie nia Allaah (´Azza wa Jalla) na omba kinga dhidi ya Shaytwaan. Ama kuacha matendo mema kwa kuchelea Riyaa… Kuna Athar inayosema:
“Kufanya matendo kwa ajili ya watu ni Shirki. Na kuacha kufanya matendo kwa ajili ya watu pia ni Shirki.”
Fanya matendo mema na omba kinga kwa Allaah kutokamana na Shaytwaan alofukuzwa.
Baadhi ya watu hawataki kutoa Swadaqah kwa kuogopa watu wasimtuhumu na Riyaa na unafiki. Haya yanatokamana na Shaytwaan. Achana nayo!
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/al_makruf%203-12-08-1433.mp3
- Imechapishwa: 16/06/2015
Swali: Je, inajuzu kuacha kufanya matendo kwa ajili ya Riyaa?
Jibu: Huu ni wasiwasi wa Shaytwaan. Nilipendelea kugusia hili lakini nilisahau. Baadhi ya watu wanaacha kufanya matendo mema; kusimama kisimamo cha usiku, wanafikia mpaka kuacha Swalah ya Jamaa´ah kwa hoja eti wanaogopa Riyaa. Hili linatokamana na Shaytwaan. Fanya matendo mema na mtakasie nia Allaah (´Azza wa Jalla) na omba kinga dhidi ya Shaytwaan. Ama kuacha matendo mema kwa kuchelea Riyaa… Kuna Athar inayosema:
“Kufanya matendo kwa ajili ya watu ni Shirki. Na kuacha kufanya matendo kwa ajili ya watu pia ni Shirki.”
Fanya matendo mema na omba kinga kwa Allaah kutokamana na Shaytwaan alofukuzwa.
Baadhi ya watu hawataki kutoa Swadaqah kwa kuogopa watu wasimtuhumu na Riyaa na unafiki. Haya yanatokamana na Shaytwaan. Achana nayo!
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/al_makruf%203-12-08-1433.mp3
Imechapishwa: 16/06/2015
https://firqatunnajia.com/yote-mawili-ni-shirki/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)