Swali: Yule ambaye anawasifu Ahl-ul-Bid´ah na kuwatapa anakuwa ni katika wao?
Jibu: Ndio, pasi na shaka. Ambaye anawasifu na kuwatapa ni mlinganizi wao. Anaita kwao na huyu ni mmoja katika walinganizi wao.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Fadhwl-il-Islaam, uk. 29
- Imechapishwa: 30/08/2020
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)