Swali: Yule ambaye anawasifu Ahl-ul-Bid´ah na kuwatapa anakuwa ni katika wao?
Jibu: Ndio, pasi na shaka. Ambaye anawasifu na kuwatapa ni mlinganizi wao. Anaita kwao na huyu ni mmoja katika walinganizi wao.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Fadhwl-il-Islaam, uk. 29
- Imechapishwa: 30/08/2020
Swali: Yule ambaye anawasifu Ahl-ul-Bid´ah na kuwatapa anakuwa ni katika wao?
Jibu: Ndio, pasi na shaka. Ambaye anawasifu na kuwatapa ni mlinganizi wao. Anaita kwao na huyu ni mmoja katika walinganizi wao.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Fadhwl-il-Islaam, uk. 29
Imechapishwa: 30/08/2020
https://firqatunnajia.com/yeye-pia-ni-katika-ahl-ul-bidah/