Swali: Ni ipi hukumu ya kumsomea maiti Yaa Siyn kwenye kaburi? Je, Suurah hii ina fadhila?
Jibu: Yaa Siyn hasomewi anayetaka kukata roho. Hakuna dalili ya hilo. Kumethibiti Hadiyth ambayo ni dhaifu.
Kuhusiana na maiti, asisomewe kitu kutoka katika Qur-aan. Qur-aan haisomwi kwa maiti, si kabla wala baada ya kumaliza mazishi. Hakuna dalili juu ya hilo. Kitendo kisichokuwa na dalili inakuwa Bid´ah.
Ambaye nataka kumnufaisha maiti muislamu amuombee du´aa msamaha na rehema, amtolee swadaqah, amlipie madeni yake na mfano wa hayo. Haya ndio yanayomfaa maiti. Qur-aan wanasomewa waliohai ambao wananufaika kwayo na kuitendea kazi. Hawasomewi maiti ambao hawawezi kuifanyia kazi wala kunufaika kwayo.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Tafsiyr-ish-Shaykh Muhammad bin ´Abdil-Wahhaab (25) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/ayatquran-26-07-1435-01.mp3
- Imechapishwa: 20/06/2020
Swali: Ni ipi hukumu ya kumsomea maiti Yaa Siyn kwenye kaburi? Je, Suurah hii ina fadhila?
Jibu: Yaa Siyn hasomewi anayetaka kukata roho. Hakuna dalili ya hilo. Kumethibiti Hadiyth ambayo ni dhaifu.
Kuhusiana na maiti, asisomewe kitu kutoka katika Qur-aan. Qur-aan haisomwi kwa maiti, si kabla wala baada ya kumaliza mazishi. Hakuna dalili juu ya hilo. Kitendo kisichokuwa na dalili inakuwa Bid´ah.
Ambaye nataka kumnufaisha maiti muislamu amuombee du´aa msamaha na rehema, amtolee swadaqah, amlipie madeni yake na mfano wa hayo. Haya ndio yanayomfaa maiti. Qur-aan wanasomewa waliohai ambao wananufaika kwayo na kuitendea kazi. Hawasomewi maiti ambao hawawezi kuifanyia kazi wala kunufaika kwayo.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Tafsiyr-ish-Shaykh Muhammad bin ´Abdil-Wahhaab (25) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/ayatquran-26-07-1435-01.mp3
Imechapishwa: 20/06/2020
https://firqatunnajia.com/yaa-siyn-kwa-anayekata-roho-na-maiti/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)