Swali: Mtu akimgusa mwanamke katika Msikiti Mtukufu wa Makkah pasi na kukusudia wudhuu´ wake unavunjika?
Jibu: Hapana, wudhuu´ wake hauvunjiki ikiwa ni pasi na kukusudia isipokuwa ikiwa kama atatokwa na kitu. Katika hali hii wudhuu´ wake utakuwa umevunjika. Ama ikiwa hakutokwa na kitu na yeye akawa hakukusudia hili, hana juu yake kitu.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Buluugh al-Maraam (36) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/blug–1431-08-15.mp3
- Imechapishwa: 21/04/2015
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket