Swali: Ni kitabu kipi chenye kunufaisha unachopendekeza kuwasomea familia nyumbani?
Jibu: Lililo bora zaidi ni kuwasomea Riyaadh-us-Swaalihiyn. Hichi ni kitabu bora kutoka katika maneno ya Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) na kimewekwa milango maalum.
Kama tulivyosema hapo mwanzo, wafundishe hukumu za swalah na hukumu za wudhuu´ ili wazijue.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Buluugh al-Maraam (36) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/blug–1431-08-15.mp3
- Imechapishwa: 21/04/2015
Swali: Ni kitabu kipi chenye kunufaisha unachopendekeza kuwasomea familia nyumbani?
Jibu: Lililo bora zaidi ni kuwasomea Riyaadh-us-Swaalihiyn. Hichi ni kitabu bora kutoka katika maneno ya Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) na kimewekwa milango maalum.
Kama tulivyosema hapo mwanzo, wafundishe hukumu za swalah na hukumu za wudhuu´ ili wazijue.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Buluugh al-Maraam (36) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/blug–1431-08-15.mp3
Imechapishwa: 21/04/2015
https://firqatunnajia.com/al-fawzaan-kitabu-cha-kuwasomea-familia/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)