Swali: Mtu akimgusa mwanamke katika Msikiti Mtukufu wa Makkah pasi na kukusudia wudhuu´ wake unavunjika?
Jibu: Hapana, wudhuu´ wake hauvunjiki ikiwa ni pasi na kukusudia isipokuwa ikiwa kama atatokwa na kitu. Katika hali hii wudhuu´ wake utakuwa umevunjika. Ama ikiwa hakutokwa na kitu na yeye akawa hakukusudia hili, hana juu yake kitu.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Buluugh al-Maraam (36) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/blug–1431-08-15.mp3
- Imechapishwa: 21/04/2015
Swali: Mtu akimgusa mwanamke katika Msikiti Mtukufu wa Makkah pasi na kukusudia wudhuu´ wake unavunjika?
Jibu: Hapana, wudhuu´ wake hauvunjiki ikiwa ni pasi na kukusudia isipokuwa ikiwa kama atatokwa na kitu. Katika hali hii wudhuu´ wake utakuwa umevunjika. Ama ikiwa hakutokwa na kitu na yeye akawa hakukusudia hili, hana juu yake kitu.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Buluugh al-Maraam (36) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/blug–1431-08-15.mp3
Imechapishwa: 21/04/2015
https://firqatunnajia.com/wudhuu-na-kugusana-na-wanawake-kwenye-msikiti-wa-makkah/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)