Swali: Hijaab inakuwa kwa kufunika uso au inakuwa kwa kuacha uso wazi?
Jibu: Hijaab ya kuacha uso wazi? Hijaab ni mwanamke kujisitiri mwili wake wote; uso, vitanga vya mikono na miguu yake mbele za wanaume. Hii ndio Hijaab. Ama akiufunika mwili wake na akaacha wazi uso wake, hii ni Hijaab pungufu. Kuacha uso wake ni haramu. Hili ni jambo la haramu na haijuzu.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Buluugh al-Maraam (36) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/blug–1431-08-15.mp3
- Imechapishwa: 21/04/2015
Swali: Hijaab inakuwa kwa kufunika uso au inakuwa kwa kuacha uso wazi?
Jibu: Hijaab ya kuacha uso wazi? Hijaab ni mwanamke kujisitiri mwili wake wote; uso, vitanga vya mikono na miguu yake mbele za wanaume. Hii ndio Hijaab. Ama akiufunika mwili wake na akaacha wazi uso wake, hii ni Hijaab pungufu. Kuacha uso wake ni haramu. Hili ni jambo la haramu na haijuzu.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Buluugh al-Maraam (36) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/blug–1431-08-15.mp3
Imechapishwa: 21/04/2015
https://firqatunnajia.com/hii-ni-hijaab-sampuli-gani/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)