Swali: Je, inafaa kumtolea Zakaat-ul-Fitwr mtoto tumboni mwa mama yake?
Jibu: Inapendeza kumtolea Zakaat-ul-Fitwr mtoto aliyeko tumboni kutokana na kitendo cha ´Uthmaan (Radhiya Allaahu ´anh) na wala si lazima. Kwa sababu ingefungamanishwa naye kabla ya kuonekana kwake basi zakaah ingefungamanishwa na vijusi vya wajane.
´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
´Abdullaah bin Ghudayyaan
- Mhusika: al-Lajnah ad-Daaimah
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-Lajnah ad-Daaimah (3382)
- Imechapishwa: 12/05/2022
Swali: Je, inafaa kumtolea Zakaat-ul-Fitwr mtoto tumboni mwa mama yake?
Jibu: Inapendeza kumtolea Zakaat-ul-Fitwr mtoto aliyeko tumboni kutokana na kitendo cha ´Uthmaan (Radhiya Allaahu ´anh) na wala si lazima. Kwa sababu ingefungamanishwa naye kabla ya kuonekana kwake basi zakaah ingefungamanishwa na vijusi vya wajane.
´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
´Abdullaah bin Ghudayyaan
Mhusika: al-Lajnah ad-Daaimah
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: al-Lajnah ad-Daaimah (3382)
Imechapishwa: 12/05/2022
https://firqatunnajia.com/je-inafaa-kumtolea-zakaat-ul-fitwr-mtoto-tumboni-mwa-mama-yake/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)