Swali: Je, niswali Witr baada ya swalah ya ´Ishaa Rak´ah tatu au Rak´ah moja?
Jibu: Witr ni kutokana na vile inavowepesika; Rak´ah tatu, tano, saba au tisa. Haina kikomo maalum safarini wala katika hali ya ukazi. Alikuwa (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) akiswali Witr safarini na katika hali ya ukazi. Vivyo hivyo kuhusu Sunnah ya Witr katika hali zote mbili ya usafiri na ukazi. Kuhusu Sunnah ya Dhuhr, ´Aswr, Maghrib na ´Ishaa wakati wa safari bora ni kuziacha.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (30/48)
- Imechapishwa: 11/04/2023
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)