Swali: Mwanamke huyu ni wa kutoka Ujerumani amesilimu na anataka kuolewa na kufanya Hijrah katika nchi hii. Lakini wazazi wake ambao ni makafiri hawataki hayo. Je, awatii katika hilo?
Jibu: Asiwatii katika hayo. Asiwatii katika kumuasi Allaah; si katika kuacha Hijrah wala kuacha kuolewa.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: at-Tafsiyr al-Mufasswal (55) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf–1431-11-10.mp3
- Imechapishwa: 21/08/2020
Swali: Mwanamke huyu ni wa kutoka Ujerumani amesilimu na anataka kuolewa na kufanya Hijrah katika nchi hii. Lakini wazazi wake ambao ni makafiri hawataki hayo. Je, awatii katika hilo?
Jibu: Asiwatii katika hayo. Asiwatii katika kumuasi Allaah; si katika kuacha Hijrah wala kuacha kuolewa.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: at-Tafsiyr al-Mufasswal (55) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf–1431-11-10.mp3
Imechapishwa: 21/08/2020
https://firqatunnajia.com/wazazi-makafiri-hawataki-msichana-wao-afanye-hijrah-na-aolewe/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket
