Swali: Ikiwa jamaa zangu ninapowaunga wanafanya maovu mbele yangu na hawapokei nasaha ninapowanasihi. Je, ninapata dhambi nisipowaunga?
Jibu: Kuwaunga unatakiwa kuwaunga na usiwakate. Lakini wasipopokea nasaha na kuacha maovu, usiketi nao. Hata hivyo kuwuanga unatakiwa kuwaunga.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Ta´liyqaat ´alaa Risaalah wujuub-il-´Amr bil-Ma´ruuf wan-Nahiy ´an al-Munkar (03)
- Imechapishwa: 15/02/2024
Swali: Ikiwa jamaa zangu ninapowaunga wanafanya maovu mbele yangu na hawapokei nasaha ninapowanasihi. Je, ninapata dhambi nisipowaunga?
Jibu: Kuwaunga unatakiwa kuwaunga na usiwakate. Lakini wasipopokea nasaha na kuacha maovu, usiketi nao. Hata hivyo kuwuanga unatakiwa kuwaunga.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Ta´liyqaat ´alaa Risaalah wujuub-il-´Amr bil-Ma´ruuf wan-Nahiy ´an al-Munkar (03)
Imechapishwa: 15/02/2024
https://firqatunnajia.com/waunge-jamaa-zako-lakini-usikae-nao/