Swali: Ikiwa jamaa zangu ninapowaunga wanafanya maovu mbele yangu na hawapokei nasaha ninapowanasihi. Je, ninapata dhambi nisipowaunga?
Jibu: Kuwaunga unatakiwa kuwaunga na usiwakate. Lakini wasipopokea nasaha na kuacha maovu, usiketi nao. Hata hivyo kuwuanga unatakiwa kuwaunga.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Ta´liyqaat ´alaa Risaalah wujuub-il-´Amr bil-Ma´ruuf wan-Nahiy ´an al-Munkar (03)
- Imechapishwa: 15/02/2024
Swali: Ikiwa jamaa zangu ninapowaunga wanafanya maovu mbele yangu na hawapokei nasaha ninapowanasihi. Je, ninapata dhambi nisipowaunga?
Jibu: Kuwaunga unatakiwa kuwaunga na usiwakate. Lakini wasipopokea nasaha na kuacha maovu, usiketi nao. Hata hivyo kuwuanga unatakiwa kuwaunga.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Ta´liyqaat ´alaa Risaalah wujuub-il-´Amr bil-Ma´ruuf wan-Nahiy ´an al-Munkar (03)
Imechapishwa: 15/02/2024
https://firqatunnajia.com/waunge-jamaa-zako-lakini-usikae-nao/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)