Swali: Tumesoma kuwa kuitikia mwaliko wa ndoa ni wajibu. Lakini wakati mwingine katika sherehe hizi kunakuwa baadhi ya maovu. Tufanye nini?
Jibu: Mtu akijua kuwa mahali alipoalikwa kuna maovu na hawezi kuyakemea, asende.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Ta´liyqaat ´alaa Risaalah wujuub-il-´Amr bil-Ma´ruuf wan-Nahiy ´an al-Munkar (04)
- Imechapishwa: 15/02/2024
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket