Swali: Hadiyth ya Anas inayosema:
“Nimewapitia watu walio na kucha kama misumari wanazikwangura nyuso zao.”
Je, adhabu hii ni ndani ya kaburi?
Jibu: Udhahiri – na Allaah ndiye mjuzi zaidi – ni Barzakh. Kwa maana nyingine ni kipindi kati ya kufa, kufufuliwa na kukusanywa kwake. Tunamuomba Allaah usalama.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23193/هل-الوعيد-يخمشون-وجوههم-في-البرزخ
- Imechapishwa: 24/11/2023
Swali: Hadiyth ya Anas inayosema:
“Nimewapitia watu walio na kucha kama misumari wanazikwangura nyuso zao.”
Je, adhabu hii ni ndani ya kaburi?
Jibu: Udhahiri – na Allaah ndiye mjuzi zaidi – ni Barzakh. Kwa maana nyingine ni kipindi kati ya kufa, kufufuliwa na kukusanywa kwake. Tunamuomba Allaah usalama.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23193/هل-الوعيد-يخمشون-وجوههم-في-البرزخ
Imechapishwa: 24/11/2023
https://firqatunnajia.com/watu-wanaozikwangura-nyuso-zao/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)