Swali: Ambaye anamkonyeza mtu kwa njia ya kwamba mtu anaelewa…
Jibu: Haijalishi kitu hukumu ni moja. Amesema (Jalla wa ´Alaa):
وَيْلٌ لِّكُلِّ هُمَزَةٍ لُّمَزَةٍ
”Maangamivu kwa kila mwenye kukebehi na kukejeli watu kwa ishara na vitendo, na kwa kila mwenye kufedhehesha kwa ulimi.”[1]
Ni yule ambaye anawatia watu mapungufu kwa kuwakashifu na kuwakejeli kwa ishara. Mara inakuwa kwa kunong´ona, mara nyingine inakuwa kwa kidole chake, macho yake, kichwa chake au kwa njia nyingine inayofahamika:
وَلَا تُطِعْ كُلَّ حَلَّافٍ مَّهِينٍ هَمَّازٍ مَّشَّاءٍ بِنَمِيمٍ
“Na wala usimtii kila mwingi wa kuapa, wa kutwezwa. Mwingi wa kukashifu, mwenye kueneza umbea.”[2]
[1] 104:01
[2] 68:10-11
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23194/حكم-من-يعيب-الناس-بالهمز-واللمز-بالاشارة
- Imechapishwa: 24/11/2023
Swali: Ambaye anamkonyeza mtu kwa njia ya kwamba mtu anaelewa…
Jibu: Haijalishi kitu hukumu ni moja. Amesema (Jalla wa ´Alaa):
وَيْلٌ لِّكُلِّ هُمَزَةٍ لُّمَزَةٍ
”Maangamivu kwa kila mwenye kukebehi na kukejeli watu kwa ishara na vitendo, na kwa kila mwenye kufedhehesha kwa ulimi.”[1]
Ni yule ambaye anawatia watu mapungufu kwa kuwakashifu na kuwakejeli kwa ishara. Mara inakuwa kwa kunong´ona, mara nyingine inakuwa kwa kidole chake, macho yake, kichwa chake au kwa njia nyingine inayofahamika:
وَلَا تُطِعْ كُلَّ حَلَّافٍ مَّهِينٍ هَمَّازٍ مَّشَّاءٍ بِنَمِيمٍ
“Na wala usimtii kila mwingi wa kuapa, wa kutwezwa. Mwingi wa kukashifu, mwenye kueneza umbea.”[2]
[1] 104:01
[2] 68:10-11
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23194/حكم-من-يعيب-الناس-بالهمز-واللمز-بالاشارة
Imechapishwa: 24/11/2023
https://firqatunnajia.com/kuwakonyeza-watu/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)