Swali: Msafiri kuswali kwa kufupisha ni ruhusa au lazima?
Jibu: Ruhusa. Inafaa kuswali kwa kukamilisha. Kufanyia kazi ruhusa ni Sunnah:
“Allaah anapenda itendewe kazi ruhusa Yake.”
Kwa ajili hiyo ´Uthmaan aliswali kwa kukamilisha, ´Aaishah aliswali kwa kukamilisha, Maswahabah waliswali kwa kukamilisha na ´Uthmaan katika hijjah yake ya mwisho.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23196/هل-قصر-الصلاة-رخصة-ام-عزيمة
- Imechapishwa: 24/11/2023
Swali: Msafiri kuswali kwa kufupisha ni ruhusa au lazima?
Jibu: Ruhusa. Inafaa kuswali kwa kukamilisha. Kufanyia kazi ruhusa ni Sunnah:
“Allaah anapenda itendewe kazi ruhusa Yake.”
Kwa ajili hiyo ´Uthmaan aliswali kwa kukamilisha, ´Aaishah aliswali kwa kukamilisha, Maswahabah waliswali kwa kukamilisha na ´Uthmaan katika hijjah yake ya mwisho.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23196/هل-قصر-الصلاة-رخصة-ام-عزيمة
Imechapishwa: 24/11/2023
https://firqatunnajia.com/ni-lazima-kwa-msafiri-kuswali-kwa-kufupisha-swalah/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)