Swali: Mtu anapokuwa daima anasema uwongo aambiwe kuwa ana sifa za wanafiki au aambiwe kuwa ni mnafiki?
Jibu: Aambiwe kuwa ana moja miongoni mwa sifa za unafiki. Hivyo anatakiwa kujihadhari na kutubu kwa Allaah kutokana nayo.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23192/هل-يوصف-بالنفاق-من-كان-داىم-الكذب
- Imechapishwa: 24/11/2023
Swali: Mtu anapokuwa daima anasema uwongo aambiwe kuwa ana sifa za wanafiki au aambiwe kuwa ni mnafiki?
Jibu: Aambiwe kuwa ana moja miongoni mwa sifa za unafiki. Hivyo anatakiwa kujihadhari na kutubu kwa Allaah kutokana nayo.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23192/هل-يوصف-بالنفاق-من-كان-داىم-الكذب
Imechapishwa: 24/11/2023
https://firqatunnajia.com/ambaye-daima-anasema-uwongo-ni-mnafiki/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)