Swali: Vipi kuhusu hatma ya watoto wa washirikina na watoto wa waislamu?
Jibu: Wana wa waumini wanawaandamana baba zao ndani ya Pepo. Watoto wa makafiri, ni kama alivosema Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam):
”Allaah anajua zaidi kile ambacho wangefanya.”
Watapewa mtihani siku ya Qiyaamah.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/25097/حكم-الموتى-من-اطفال-المشركين-والمسلمين
- Imechapishwa: 01/02/2025
Swali: Vipi kuhusu hatma ya watoto wa washirikina na watoto wa waislamu?
Jibu: Wana wa waumini wanawaandamana baba zao ndani ya Pepo. Watoto wa makafiri, ni kama alivosema Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam):
”Allaah anajua zaidi kile ambacho wangefanya.”
Watapewa mtihani siku ya Qiyaamah.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/25097/حكم-الموتى-من-اطفال-المشركين-والمسلمين
Imechapishwa: 01/02/2025
https://firqatunnajia.com/watoto-wa-waislamu-wataandamana-na-wazazi-wao/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket
