Swali: Maswali ya Munkar na Nakiyr ni maalum juu ya ummah huu?
Jibu: Hili ni jambo linalohitaji kuangaliwa vyema. Maoni ya karibu zaidi ni kwamba ni kwa ajili ya ummah huu tu. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
”Hakika utapewa mtihani ndani ya makaburi yao… ”
Hili udhahiri wake ni kwamba ni maalum kwa ajili ya ummah huu. Maneno yake (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam):
”Hakika nyinyi mtapewa mtihani ndani ya makaburi yenu inayokaribia fitina ya al-Masiyh ad-Dajjaal.”
Udhahiri wake ni kwamba ni maalum kwa ajili ya ummah huu.
Swali: Ummah ambao wanalinganiwa?
Jibu: Wote, ummah wa wanaolinganiwa na walioitikia. Ni yenye kuenea, kwa waumini na makafiri.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/25098/هل-سوال-منكر-ونكير-خاص-بهذه-الامة
- Imechapishwa: 01/02/2025
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket