Swali: Nataka kufanya Hijrah katika mji wa Kiislamu. Lakini watoto zangu hawataki kutoka katika mji wa kikafiri. Unanishauri nini mimi na wao?
Jibu: Ikiwa unaweza kuwalazimisha, walazimishe. Ikiwa huwezi fanya Hijrah peke yako. Fanya Hijrah peke yako na uendelee kuwaita katika kufanya Hijrah na kuwasiliana nao ili Allaah aweze kuwaongoza.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Ighastah-5-2-1435-01.mp3
- Imechapishwa: 20/09/2020
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket