Swali: Kuna ambaye anaacha anausia kwamba aswaliwe Makkah au al-Madiynah au azikwe kwenye makaburi yayo. Ni ipi hukumu ya wasia kama huu? Je, ni lazima kuutekeleza?
Jibu: Wasia huu si lazima kuutekeleza. Lakini ikiwepesika kuutekeleza hakuna neno. Ni jambo linaloruhusu kukiwepesika. Lakini hata hivyo si lazima.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (15) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Umdah-24-11-1434_0.mp3
- Imechapishwa: 23/08/2019
Swali: Kuna ambaye anaacha anausia kwamba aswaliwe Makkah au al-Madiynah au azikwe kwenye makaburi yayo. Ni ipi hukumu ya wasia kama huu? Je, ni lazima kuutekeleza?
Jibu: Wasia huu si lazima kuutekeleza. Lakini ikiwepesika kuutekeleza hakuna neno. Ni jambo linaloruhusu kukiwepesika. Lakini hata hivyo si lazima.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (15) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Umdah-24-11-1434_0.mp3
Imechapishwa: 23/08/2019
https://firqatunnajia.com/wasia-wa-kuzikwa-miji-mitakatifu/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)