Swali: Unawanasihi nini wale wanaoafikiana katika dini pasi na kusoma madhehebu fulani?
Jibu: Mwanafunzi mpya na watu wasiokuwa na elimu kubwa wanalazimika kusoma moja katika yale madhehebu manne. Ni bora kwao kufanya hivo kuliko wapotee. Hawajafikia kiwango cha wale maimamu wanne ambapo wanaweza kufanya ijtihaad zao wenyewe. Katika hali hii wanapaswa kufata kipofu. Lakini wasimfuate kipofu isipokuwa ambaye yuko na dalili kwa kile anachokisema. Yale maoni yanayoonekana kuwa na nguvu zaidi ndio wanatakiwa kuyafuata.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (30)
- Imechapishwa: 20/02/2022
Swali: Unawanasihi nini wale wanaoafikiana katika dini pasi na kusoma madhehebu fulani?
Jibu: Mwanafunzi mpya na watu wasiokuwa na elimu kubwa wanalazimika kusoma moja katika yale madhehebu manne. Ni bora kwao kufanya hivo kuliko wapotee. Hawajafikia kiwango cha wale maimamu wanne ambapo wanaweza kufanya ijtihaad zao wenyewe. Katika hali hii wanapaswa kufata kipofu. Lakini wasimfuate kipofu isipokuwa ambaye yuko na dalili kwa kile anachokisema. Yale maoni yanayoonekana kuwa na nguvu zaidi ndio wanatakiwa kuyafuata.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (30)
Imechapishwa: 20/02/2022
https://firqatunnajia.com/wanalazimika-kusoma-moja-katika-madhehebu/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)