Swali: Wakati nilipokuwa nafanya Twawaaf Haram nilimwona mtu amevaa hirizi ambapo nikamvua nayo kwa nguvu. Je, nilifanya kitendo cha sawa khaswa kwa kuzingatia kwamba alikataa kuivua mwenyewe?
Jibu: Hapana, hujafanya sawa. Ulimnasihi na ukambainishia. Asiponasihika basi unatakiwa kupeleka jambo lake katika idara ya msikiti. Wao ndio wanapaswa kumvua nayo. Hakuna wanaofanya hivo isipokuwa mamlaka. Wewe unachotakiwa kufanya ni kunasihi peke yake na kubainisha.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (30)
- Imechapishwa: 20/02/2022
Swali: Wakati nilipokuwa nafanya Twawaaf Haram nilimwona mtu amevaa hirizi ambapo nikamvua nayo kwa nguvu. Je, nilifanya kitendo cha sawa khaswa kwa kuzingatia kwamba alikataa kuivua mwenyewe?
Jibu: Hapana, hujafanya sawa. Ulimnasihi na ukambainishia. Asiponasihika basi unatakiwa kupeleka jambo lake katika idara ya msikiti. Wao ndio wanapaswa kumvua nayo. Hakuna wanaofanya hivo isipokuwa mamlaka. Wewe unachotakiwa kufanya ni kunasihi peke yake na kubainisha.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (30)
Imechapishwa: 20/02/2022
https://firqatunnajia.com/si-wewe-unayengoa-hirizi/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)