Swali: Je, maji yanayomtoka mwanamke kabla ya kuzaa ni najisi na yanachengua wudhuu´?
Jibu: Ndio. Ni katika damu ya uzazi. Maji yanayotoka kabla ya kuzaa ni katika mwanzo wa damu ya uzazi. Ni najisi, kwa sababu yanatoka ukeni. Aidha yanachengua wudhuu´.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (30)
- Imechapishwa: 20/02/2022
Swali: Je, maji yanayomtoka mwanamke kabla ya kuzaa ni najisi na yanachengua wudhuu´?
Jibu: Ndio. Ni katika damu ya uzazi. Maji yanayotoka kabla ya kuzaa ni katika mwanzo wa damu ya uzazi. Ni najisi, kwa sababu yanatoka ukeni. Aidha yanachengua wudhuu´.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (30)
Imechapishwa: 20/02/2022
https://firqatunnajia.com/maji-yanayomtoka-mjamzito-na-wudhuu/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)