Swali: Je, inafaa kwa mke kutoka pasi na idhini ya mume wake kwa ajili ya kuwatembelea majirani zake walio karibu zaidi?
Jibu: Hapana. Asitoke pasi na idhini ya mume wake. Haki ya mume wake inatangulia mbele ya haki ya ndugu jamaa zake na majirani zake.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (30)
- Imechapishwa: 20/02/2022
Swali: Je, inafaa kwa mke kutoka pasi na idhini ya mume wake kwa ajili ya kuwatembelea majirani zake walio karibu zaidi?
Jibu: Hapana. Asitoke pasi na idhini ya mume wake. Haki ya mume wake inatangulia mbele ya haki ya ndugu jamaa zake na majirani zake.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (30)
Imechapishwa: 20/02/2022
https://firqatunnajia.com/mke-anawatembelea-majirani-bila-idhini-ya-mume/