Swali: Je, inafaa kwa mke kutoka pasi na idhini ya mume wake kwa ajili ya kuwatembelea majirani zake walio karibu zaidi?
Jibu: Hapana. Asitoke pasi na idhini ya mume wake. Haki ya mume wake inatangulia mbele ya haki ya ndugu jamaa zake na majirani zake.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (30)
- Imechapishwa: 20/02/2022
Swali: Je, inafaa kwa mke kutoka pasi na idhini ya mume wake kwa ajili ya kuwatembelea majirani zake walio karibu zaidi?
Jibu: Hapana. Asitoke pasi na idhini ya mume wake. Haki ya mume wake inatangulia mbele ya haki ya ndugu jamaa zake na majirani zake.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (30)
Imechapishwa: 20/02/2022
https://firqatunnajia.com/mke-anawatembelea-majirani-bila-idhini-ya-mume/
Mshirikishe mwenzako:
- Share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Print (Opens in new window) Print
- Email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Share on X (Opens in new window) X
- Share on Pocket (Opens in new window) Pocket