Swali: Je, inafaa kwa mke kutoka pasi na idhini ya mume wake kwa ajili ya kuwatembelea majirani zake walio karibu zaidi?
Jibu: Hapana. Asitoke pasi na idhini ya mume wake. Haki ya mume wake inatangulia mbele ya haki ya ndugu jamaa zake na majirani zake.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (30)
- Imechapishwa: 20/02/2022
Swali: Je, inafaa kwa mke kutoka pasi na idhini ya mume wake kwa ajili ya kuwatembelea majirani zake walio karibu zaidi?
Jibu: Hapana. Asitoke pasi na idhini ya mume wake. Haki ya mume wake inatangulia mbele ya haki ya ndugu jamaa zake na majirani zake.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (30)
Imechapishwa: 20/02/2022
https://firqatunnajia.com/mke-anawatembelea-majirani-bila-idhini-ya-mume/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)