Swali: Ni ipi hukumu ya kumvuta mswaliji anayeswali katika safu ya mbele ili aswali pamoja nami katika safu ya nyuma?
Jibu: Haifai kufanya hivo kwa mujibu wa maoni sahihi zaidi. Jaribu ujipenyeze ndani ya safu ukiweza kufanya hivo. Vinginevyo subiri mpaka pale atakapokuja mtu ambapo utapanga naye safu.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (30)
- Imechapishwa: 20/02/2022
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket