Swali: Tulikuwa tunaomba uwape kalima ndugu zetu wanafunzi kuhusu kutumia fursa ya wakati huu wa hajj katika kulingania kwa Allaah na kuwaelekeza waislamu katika ´Aqiydah sahihi?
Jibu: Hili ni wajibu kwa wanafunzi. Hapana shaka kwamba ni fursa kubwa. Kwani watu wamekusanyika kutoka katika kila pembe ya dunia na hivyo awalinganie kwa Allaah kwa kuwaamrisha mema, kuwakataza maovu na awawekee wazi ´Aqiydah ya Salafiyyah ambayo ndio sahihi na wakati huohuo kuwakataza Bid´ah. Huu ndio wajibu kwa wanafunzi.
- Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (07) http://dl.islamweb.net/audiopath/audio/lecturs/aalrrajhee/434/434.mp3
- Imechapishwa: 06/01/2019
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)