Swali: Sisi huku kwetu kuna kundi la Suufiyyah waabudu makaburi ambao wanafanya Shirki, Bid´ah na ukhurafi. Tunapotaka kuwalingania katika Tawhiyd na Sunnah wanakwepa vikao vyetu kwa sababu sisi ni Wahhaabiyyah. Hata hivyo wanakuja sehemu za kutoa pole. Je, inajuzu kwetu kuwalingania watu hawa katika Tawhiyd na Sunnah sehemu kama hizi?
Jibu: Nendeni nao kwa upole na ulaini pengine Allaah Akawaongoza. Wavuteni. Msiwashambulie na kuwaita kuwa ni makafiri na washirikina. Nendeni nao pole pole kwa utulivu, hekima na ulaini pengine Allaah Akawaongoza.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Muqaddimati Ibn Abiy Zayd al-Qayrawaaniy fiyl-´Aqiydah (04) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/qir–14331228.mp3
- Imechapishwa: 17/06/2015
Swali: Sisi huku kwetu kuna kundi la Suufiyyah waabudu makaburi ambao wanafanya Shirki, Bid´ah na ukhurafi. Tunapotaka kuwalingania katika Tawhiyd na Sunnah wanakwepa vikao vyetu kwa sababu sisi ni Wahhaabiyyah. Hata hivyo wanakuja sehemu za kutoa pole. Je, inajuzu kwetu kuwalingania watu hawa katika Tawhiyd na Sunnah sehemu kama hizi?
Jibu: Nendeni nao kwa upole na ulaini pengine Allaah Akawaongoza. Wavuteni. Msiwashambulie na kuwaita kuwa ni makafiri na washirikina. Nendeni nao pole pole kwa utulivu, hekima na ulaini pengine Allaah Akawaongoza.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Muqaddimati Ibn Abiy Zayd al-Qayrawaaniy fiyl-´Aqiydah (04) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/qir–14331228.mp3
Imechapishwa: 17/06/2015
https://firqatunnajia.com/walinganie-washirikina-katika-tawhiyd-kwa-upole-na-ulaini/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)