Swali: Ni ipi hukumu ya kununua nyumba kwa njia ya benki?
Jibu: Ikiwa benki ndio imenunua na kuimiliki kikamilifu na kisha ikakuuzia, ni sawa. Ama kuinunua wewe kwa pesa ya benki ambayo unatakiwa kulipa kwa kurudisha ziada, hii ni ribaa.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Muqaddimati Ibn Abiy Zayd al-Qayrawaaniy fiyl-´Aqiydah (04) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/qir–14331228.mp3
- Imechapishwa: 17/06/2015
Swali: Ni ipi hukumu ya kununua nyumba kwa njia ya benki?
Jibu: Ikiwa benki ndio imenunua na kuimiliki kikamilifu na kisha ikakuuzia, ni sawa. Ama kuinunua wewe kwa pesa ya benki ambayo unatakiwa kulipa kwa kurudisha ziada, hii ni ribaa.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Muqaddimati Ibn Abiy Zayd al-Qayrawaaniy fiyl-´Aqiydah (04) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/qir–14331228.mp3
Imechapishwa: 17/06/2015
https://firqatunnajia.com/kununua-nyumba-kwa-njia-ya-benki/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)